THIS IS MANCHESTER UNITED……HILI NI CHAMA KUBWA!


THIS IS MANCHESTER UNITED……HILI NI CHAMA KUBWA!

Na Godlisten Chicharito.

Msimu ulioisha/pita ulikua msimu mbaya sana kuwahi kutokea/kushuhudiwa na sisi wa kizazi cha sasa, Ilisadikika kwamba kutokuwepo kwetu UCL huenda tungetetereka kiuchumi, Tungeshindwa kusajili majina makubwa na blah blah nyingi, hua najiuliza, huko UEFA wachezaji wanafuata nini? "huenda wanajitangaza" ukishajitangaza ni timu gani zinazopaswa kukusajili? "timu kubwa" Kuna timu kubwa zaid ya man utd? Hiv Giroud miaka yote si anashiriki uefa? Ukiachana na vipigo ni nini anachoweza kujivunia/amepata nini tokea aanze kushiriki uefa?

Wachezaji wanamahitaji yao makuu mawili "KIPATO" "UMAARUFU" je, kuna club inayoweza kuwapa hivi vitu vyote zaidi Ya Man Utd?

CHUKUA HII

Daley Blind (£13.4m) kutoka Ajax, Acc yake ya Tweeter imeongezeka idada ya Follower kwa 72% tokea atue OT, huku wastani wa wafuasi kwa siku ni 5,336
blind
Sawa na kiwango kikubwa katika kutambulika na kujulikana walivyovipata Robin Van Persie&Juan Mata kufuatia hatua yao kujiunga man utd ni ushahidi tosha wa uwezo United kujenga brand yao wenyewe ya galactico katika Manchester.

Katika report za kila mara za kampuni ya Google zilionyesha kua siku ya Usajili wa Falcao kutoka monaco kuja OT, google yote ilikua inanukia falcao tu, hata wewe ulitafuta pia, " Jina La Falcao kutafutwa Google iliongezeka hadi kufikia 909% " Angel Di Maria Google searches iliongezekwa kwa 1111% ukilinganisha na kipindi anajiunga na Real Madrid , ni Record ya kipekee Dunian, hakuna club YEYOTE ile na iliyowahi kufanya hivi na haitotokea,
falcao
Robin Van Persi miaka 8 arsenal hakuwahi kuingia Top 5 ya wachezaji ambao Jezi zao zinaongoza kwa Mauzo ila alipotua OT, miaka miwili mfululizo Van P is on Top, Juan Mata japokua alikua mchezaji bora mara mbili darajani hakuwahi kuingia Top 10 lakini miezi michache Tu OT tayari yuko Top 10, na 40% ya mauzo ya Jezi zote za club zote EPL ni Man Utd

most marketable English footballer "Wayne Rooney" yuko OT, na ndie anaeongoza kwa kupokea hela nyingi EPL

Mapato yanayopatikana kutokana na Matangazo ya EPL dunian kote 51% ni Man Utd, hahaha the rest klab 19 ni 49 % alafu wanajiita wakubwa

Vikao vya club na wawekezaji vinaingiza pato la £300m sawa sawa na Thaman ya Liverpool na nusu ya thaman ya chelsea na zaidi ya pato wanaloingiza arsenal kwa mwaka mzima

Kila mchezo wowote ule na Rudia Tena WOWOTE ULE wa man utd, zaid ya familia 1.1 bilion dunian kote hua zinakaa na kuangalia, El Classico pekee ndio inayoweza kuvuka hapa, ndani ya miaka 4/5 iliyopita Manchester derby ndio mechi inayoongoza kwa kua na watazamaji wengi zaid dunian kuliko derby nyingine yeyote ile.



Comments