TEVEZ AREJESHWA TIMU YA TAIFA YA ARGENTINA


TEVEZ AREJESHWA TIMU YA TAIFA YA ARGENTINA

Mshambuliaji wa klabu ya Juventus ya nchini Italia Carlos Tevez amerejeshwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Argentina baada ya kufungiwa vioo na aliyekuwa kocha wa awali Allejandro Sabella.

Kocha wa sasa wa kikosi hicho Gerardo Martino amemrejesha kwenye kikosi kitakachopambana na Ureno na Croatia hapo badae.
ukiacha jina la Tevez wachzaji wengine wapya walioitwa ni golikipa wa Manchester City Willy Caballero pamoja na mchezaji wa Totenham Federico Fazio.

tevez



Comments