TABATA FC YAINGIA ROBO FAINALI YA LIGI YA DK. MWAKA SPORTS EXTRA NDONDO CUP, YAIFUNGA SIFA POLITAN KWA PENALTI 4-3
 Mashabiki wa timu ya  Sifa Politan                wakishangilia timu yao kwenye uwanja wa Bandari, Tandika,                jijini Dar es salaam.
                 Mashabiki wa timu ya Tabata FC                wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga Sifa                Politan kwa mikwaju ya penalti 4-3.
                 Kipa wa Sifa Politan akiruka bila                mafanikio kujaribu kuokoa penalti iliyopigwa na Kudura                Shaban wa Tabata FC. 
                Heka Heka katika lango la timu ya BOOM FC.
Mashabiki soka wakifuatilia pambano la Sifa Politan na Tabata FC kwenye Uwanja wa Bandari. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
        Mashabiki soka wakifuatilia pambano la Sifa Politan na Tabata FC kwenye Uwanja wa Bandari. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Comments
Post a Comment