KAMA kuna msanii ana njozi ya kuifunika nyota ya Diomond kwa miezi ya hivi karibuni, basi ajipange sana, jamaa yuko njema kupita maelezo.
Katika tamasha la Siku ya Msanii lililofanyika Jumamosi iliyopita pale Mlimani City, Diamond alipiga show ya kikubwa, alijua kucheza na hadhira, akaonyesha ufundi wa kulitumia jukwaa.
Diamond alitia fora kwa kunengua sambamba na madansa wake, akapiga sarakasi flan zilizoongeza raha, lakini kubwa zaidi ni kwamba mshindi huyo wa tuzo nane za Kili Music Awards alijua kupangilia nyimbo zake – kila wimbo uliamsha shangwe.
Pata picha zake kadhaa.
 Diamond kazini
                    Kazi inaendelea
                     Diamond anashambulia
                     Hapo sasa!!
                    Diamond akiimba kwa hisia
                    Hakika ilikuwa bonge la show
                     Diamond na wasafi wake
                     Mzuka unapopanda sarakasi            zinakuja zenyewe
                    Hebu cheki hiyo
                    Kama mamtoni vile!!!
                     Ni mashambulizi kwa kwenda            mbele
                    Uhondo juu ya uhondo
                     Ni mambo ya ngololoo
                     Diamond akipagawisha mashabiki
                    Usipime!!!
          















Comments
Post a Comment