KAMA kuna msanii ana njozi ya kuifunika nyota ya Diomond kwa miezi ya hivi karibuni, basi ajipange sana, jamaa yuko njema kupita maelezo.
Katika tamasha la Siku ya Msanii lililofanyika Jumamosi iliyopita pale Mlimani City, Diamond alipiga show ya kikubwa, alijua kucheza na hadhira, akaonyesha ufundi wa kulitumia jukwaa.
Diamond alitia fora kwa kunengua sambamba na madansa wake, akapiga sarakasi flan zilizoongeza raha, lakini kubwa zaidi ni kwamba mshindi huyo wa tuzo nane za Kili Music Awards alijua kupangilia nyimbo zake – kila wimbo uliamsha shangwe.
Pata picha zake kadhaa.
Diamond kazini
Kazi inaendelea
Diamond anashambulia
Hapo sasa!!
Diamond akiimba kwa hisia
Hakika ilikuwa bonge la show
Diamond na wasafi wake
Mzuka unapopanda sarakasi zinakuja zenyewe
Hebu cheki hiyo
Kama mamtoni vile!!!
Ni mashambulizi kwa kwenda mbele
Uhondo juu ya uhondo
Ni mambo ya ngololoo
Diamond akipagawisha mashabiki
Usipime!!!
Comments
Post a Comment