PICHA 10 ZA MAZISHI YA BI FURAHA BARAKA (MDOGO WAKE ASHA BARAKA)



PICHA 10 ZA MAZISHI YA BI FURAHA BARAKA (MDOGO WAKE ASHA BARAKA)
PICHA 10 ZA MAZISHI YA BI FURAHA BARAKA (MDOGO WAKE ASHA            BARAKA)

HATIMAYE Alhamisi alasiri, mwili wa merehemu Furaha Baraka ambaye ni mdogo wake na mkurugenzi wa Aset inayomiliki bendi ya Twanga Pepeta, mamaa Asha Baraka, ulihifadhiwa katika makazi yake ya milele.

Furaha aliyefariki wiki iliyopita nchini Ubelgiji, alizikwa katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.

Pata picha kadhaa.

 Safari ya kuelekea makaburi ya Kisutu
Mwili ukiingizwa kaburini
Taratibu za mazishi zinaendelea
Kulia ni mdau Juma Mbizo akifuatia na Mbunge wa Kinondoni Mh Idd Azan
 Mh Idd Azan akifukia kaburi
Mh Idd Azan akisalimiana na kiongozi wa Msondo Said Mabela
Juma Mbizo, Hamis Dacota na Rama Pentagon
Steve Nyerere (kulia) na Ben Kisaka
Kalala Jr na Chaz Baba wakiwa makaburini

 



Comments