MSANII JOH MAKINI ALIVYOWAPAGAWISHA MASHABIKI KWENYE TAMASHA LA COKE STUDIO, COCO BEACH




MSANII JOH MAKINI ALIVYOWAPAGAWISHA MASHABIKI KWENYE TAMASHA LA COKE STUDIO, COCO BEACH
Akiwasalimia mashabiki wake.
Mashabiki wakimshangilia.Msanii wa Hip Hop, Joh Makini kutoka Kundi la Weusi aliwakilisha vilivyo katika Tamasha la wazi la Coke Studio lililofanyika juzi Jumapili Cocobeach jijini Dar.

Comments