MSANII JOH MAKINI ALIVYOWAPAGAWISHA MASHABIKI KWENYE          TAMASHA LA COKE STUDIO, COCO BEACH          
        
Akiwasalimia        mashabiki wake.        

Mashabiki        wakimshangilia.Msanii wa Hip Hop, Joh Makini kutoka Kundi la Weusi        aliwakilisha vilivyo katika Tamasha la wazi la Coke Studio        lililofanyika juzi Jumapili Cocobeach jijini Dar.       
           
 
Comments
Post a Comment