HATIMAE JACKSON ISSA NUNDU AZIKWA MOSHI



HATIMAE JACKSON ISSA NUNDU AZIKWA MOSHI

Jackson Issa Nundu mwanamuziki ambaye siku zote alijulikaa kwa jina la Iss Nundu amezikwa leo mchan Moshi mjini. Issa Nundu alifariki Jumamosi alfajiri katika hospitali ya KCMC alikokuwa amelazwa baada ya kuhamishwa kutoka Kigoma.

Wanamuziki waliwakilishwa na wanamuziki wawili wakongwe  mpiga saxophone Yusuph Bernard na Mmwanamuziki mwingine Mohamed Mwinyjuma(Baba yak  e Mwana FA).Ibada ya mazishi ilifanyika katika kanisa la Kristu Mfalme na kuongozwa na Padri Sosthenes Bahati. Wanamuziki wa Dar es Salaam walichangia rambirambi zao kupitia kwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki John Kitime, katika michango hiyo Mheshimiwa January Makamba pia alitoa mchango mkubwa, fedha hizo zilianza kusaidia ktika kulipia ghrama za hospital na pia kusaidia kuwasafirisha wazazi wa marehemu kurudi kwao Kongo. Fedha hizo zilikabidhiwa kwa familia kupitia kwa mwanamuziki Mohamed Mwinyijuma…picha za matukio

ISSA NUNDU ALIZALIWA 23/7/1954 NA KUFARIKI 25/10/2014

IMG-20141028-WA0034

Baba wa Marehemu Mzee Sadi Issa Joseph

IMG-20141028-WA0036

Waombolezaji wanamuziki toka kushoto Robert Digital,Yusuph Bernard,Mohamed Mwinyijuma

IMG-20141028-WA0038

Mama Charle, mama ambaye alitoa msaada mkubwa sana kwa wafiwa wakati wako hapa Moshi

IMG-20141028-WA0037

Katikati ni mpwa wa marehemu Fredrick Issa Maulid

IMG-20141028-WA0060

IMG-20141028-WA0035 Safari ikianza kutoka KCMC

IMG-20141028-WA0039

Kabla ya kuingia kanisani

IMG-20141028-WA0040

Kanisani

IMG-20141028-WA0042

Marehemu akipelekwa makaburini baada ya ibada kanisani

IMG-20141028-WA0041

Marehemu akiwasili makaburi ya Manispaa Moshi

IMG-20141028-WA0044

Padri Sosthenes Bahati akimuombea marehemu kabla ya kupelekwa makaburini

 

 

 

 

IMG-20141028-WA0046

Baba wa Marehemu akiweka shada la maua

IMG-20141028-WA0043

Sanduku likishushwa

IMG-20141028-WA0045

Kuombea kaburi

IMG-20141028-WA0046#1

Baba wa marehemu akiweka shada la maua

IMG-20141028-WA0057

KABURI LA ISSA NUNDU

ZAIRI SUCCES

MZEE ALBERT KALUU KIONGOZI WA BENDI YA ZAIRE SUCCESS ILIYOWAHI KUTAMBA MOSHI

IMG-20141028-WA0062

KUSHOTO GREYSON KAKIGWA MPENZI WA MUZIKI HASA WA ZAMANI AMBAYE ALISOMA HISTORIA FUPI YA MAREHEMU KWA NIABA YA FAMILIA



Comments