BORUSSIA DORTMUND YATIMUA VUMBI, YAITUNGUA GALATASARAY 4-0 ...ATLETICO MADRID NAYO YAUA 5-0 ...pata matokeo ya mechi zote za Jumatano


BORUSSIA DORTMUND YATIMUA VUMBI, YAITUNGUA GALATASARAY 4-0 ...ATLETICO MADRID NAYO YAUA 5-0 ...pata matokeo ya mechi zote za Jumatano

The Dortmund squad celebrate after Aubameyang                  scored the opener against Galatasaray in Istanbul,                  Turkey on Wednesday

Borussia Dortmund imeendelea kutesa kwenye Ligi ya Mabingwa kundi D baada ya kuichapa Galatasaray 4-0 na kuendelea kuongoza kundi hilo.

Mabao ya Borussia Dortmund ambayo imefikisha pointi tisa, yalifungwa na Aubameyang 6, 18, Reus 41, Ramos 83.

Galatasaray: Muslera, Tarık, Chedjou, Semih, Telles (Öztekin 62), Melo, Hamit (Dzemaili 61), Selçuk, Sneijder, Pandev (Colak 78), Burak 

Borussia Dortmund: Weidenfeller, Piszczek, Hummels (Gündogan 69), Subotic, Aubameyang, Mkhitaryan, Sokratis, Kehl, Kagawa (Ramos 82), Reus, Bender (Ginter 55).

Matokeo ya mechi zote zilizochezwa Jumatano ni:

FT      Atletico Madrid  5 - 0   Malmo FF

FT      Olympiakos          1 - 0   Juventus

Champions League - Group B October 22

FT      Liverpool   0 - 3   Real Madrid

FT      PFC Ludogorets Razgrad        1 - 0   Basel

Champions League - Group C October 22

FT      Bayer Leverkusen         2 - 0   Zenit St. Petersburg

FT      Monaco      0 - 0  Benfica

Champions League - Group D October 22

FT      Anderlecht            1 - 2   Arsenal

FT      Galatasaray          0 - 4  Borussia Dortmund



Comments