ARSENAL KAMA WANGA VILE, WABADILI MCHEZO DAKIKA MBILI ZA MWISHO … Gibbs, Podolski wapeleka kicheko Emirates


ARSENAL KAMA WANGA VILE, WABADILI MCHEZO DAKIKA MBILI ZA MWISHO … Gibbs, Podolski wapeleka kicheko Emirates

Alexis Sanchez leaps on to the back of Podolski                    after he scored the winner in Brussels in Arsenal's                    Champions League clash 

ARSENAL  wamejiweka katika nafasi nzuri ya kuvuzu 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kushinda kimiujiza ugenini dhidi ya Anderlecht katika mchezo mkali wa kundi D.

 

Hadi dakika ya 89, Arsenal walikuwa nyuma 1-0 kwa bao la Andy Najar la dakika ya 71, lakini beki wa kushoto Kieran Gibbs akairudisha timu yake mchezoni baada ya kuisawazishia bao, kabla ya Lukas Podolski hajafunga goli la ushindi dakika moja baadae.

Goalscorer Podolski celebrates with team-mate Per                  Mertesacker after converting from close range in the                  dying moments

Ushindi huo unaifanya Arsenal ijikusanyie pointi sita ikiwa nyuma ya vinara Borrusia Dortmund yenye pointi tisa.

Anderlecht: Proto, Vanden Borre, Mbemba, Deschacht, Acheampong, Tielemans, Defour, Najar, Praet (Dendoncker 88), Conte, Cyriac (Suarez 83). 

Arsenal: Martinez, Chambers, Mertesacker, Monreal, Gibbs, Flamini (Oxlade-Chamberlain 74), Sanchez, Ramsey, Wilshere (Podolski 84), Cazorla, Welbeck (Campbell 74). 



Comments