Warembo 15                kati ya 30 wanaoshiriki shindano la Redds Miss Tanzania                2014 wakisindikizwa na mkali wa Bongo Fleva kutoka Jijini                Dar es Salaam, Tunda Man, wametoa burudani kali wakati wa                shindano dogo la awali la kumtafuta mrembo mwenye kipaji                lililofanyika Babati Mkoani Manyara. Pichani juu ni                washindi wa tano waliofanikiwa kuingia fainali ya shindano                hilo la vipaji litakalofanyika jijini Dar es Salaam baada                ya wengine 15 kufanyika Arusha mjini.  
                    
         Msanii wa Bongo Fleva  Tunda Man                  akitoa burudani kwa wadau wa urembo Babati.
                               Tunda Man aliburudisha vilivyo                  ukumbini hapo.
            
          
        
Comments
Post a Comment