TAMASHA LA FIESTA LAFANYIKA MJINI MOROGORO



TAMASHA LA FIESTA LAFANYIKA MJINI MOROGORO
 Baba Levo na Peter Msechu wakipagawisha jukwaani  kwenye tamasha la Fiesta ndani ya uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
 Mmoja wa mashabiki aliyekuwa kwenye Tamasha la Fiesta akishangilia huku akiwa amebebwa na mwenzake.
  Umati uliyokuwa umefurika kwenye Tamasha la  Fiesta 2014, ukishangilia
moja ya burudani zilizokuwa zikitolewa kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini
Morogoro. 
 Makomando wakiwajibika jukwaani hapo.
 Ommy Dimpoz akiimba na mmoja wa mashabiki aliyekuwa akiimba kwenye nafasi ya Vanessa Mdee katika wimbo wa Me & U.
Fid Q akifanya yake kwenye jukwaa la Fiesta ndani ya uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
 Mashabiki wakishangilia .PICHA NA MICHUZI JR-MOROGORO


Comments