PICHA 22: DAR MODERN WALIVYOTESA NA ONYESHO MAALUM LA USIKU WA GREEN LABEL



PICHA 22: DAR MODERN WALIVYOTESA NA ONYESHO MAALUM LA USIKU WA GREEN LABEL
PICHA 22: DAR MODERN WALIVYOTESA NA ONYESHO MAALUM LA            USIKU WA GREEN LABEL

KUNDI kabambe la miondoko ya taarab la Dar Modern Ijumaa usiku lilifanya onyesho maalum la Usiku wa Chai ya Green Label, onyesho lililofana kupita maelezo.

Onyesho hilo limefanyika katika ukumbi wao tulivu ambao nao unaitwa Dar Modern ulioko Magomeni jijini Dar es Salaam.

Watu maalum walioalikwa kwenye onyesho hilo wakapata burudani ya nguvu kutoka kwa Dar Modern Taarab huku pia wakijipatia zawadi kem kem kutoka kwa Chai ya Green Label. Hali kadhalika watu wote waliohudhuria walipata vyakula na vilivyoandamana na kinywaji cha chai ya Green Label.

Dhumuni la onyesho hilo lilikuwa ni kutambuana kati ya Dar Modern na Chai ya Green Label ambao ni wadhamini watarajiwa wa kundi hilo.

Pata picha kadhaa za onyesho hilo.

Kushoto ni Dr Noo wa Super Shine Modern Taarab
 Kulia ni Mwenyekiti wa Dar Modern Taarab Abdallah Feresh akiwa na mkewe Nina
Kamongo akipiga kinanda
Shaaban Kinanda akifanya yake
Kisolo katika solo gitaa
Wakati wa maakuli
Wakati wa maakuli
 Ni furaha kwa kwenda mbele
Asina Mlamali akiimba
 Shaaban wa Kumwaga akipiga bass gitaa
 Burudani inaendelea
Nina wakati wa maakuli
Sikudhan Ally
 Kushoto ni Siu akiwa na Feresh ambaye ni baba yake 
Sofia Yahaya
Mandhari ya ukumbi wa Dar Mode
 Hassan Vocha jukwaani
 Mdau wa muziki Juma Mbizo akifuatilia onyesho linavyokwenda
Mosi Suleiman
 Kutoka kushoto ni waimbaji Samiu Issa, Rahma Salum na Sikudhan Ally 
Kutoka kushoto: Sofia Yahaya, Asna Mlamali na Mosi Suleiman

Mwimbaji Hassan vocha akishambulia jukwaa

 



Comments