LIVERPOOL KAZI WANAYO …USHINDI SASA NI BIDHAA ADIMU KWAO, WABANWA NA EVERTON NYUMBANI


LIVERPOOL KAZI WANAYO …USHINDI SASA NI BIDHAA ADIMU KWAO, WABANWA NA EVERTON NYUMBANI
LIVERPOOL KAZI WANAYO …USHINDI SASA NI BIDHAA ADIMU KWAO,            WABANWA NA EVERTON NYUMBANI

KAMA mashabiki wa Liverpool walidhani usajili wa kimbunga uliofanywa na timu yao utakuwa na manufaa kuliko msimu uliopita, basi wanapaswa kuchanganua upya fikra zao.

Timu hiyo imeendelea kukutana na vingingi kwenye Ligi Kuu ya England baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na Everton.

Liverpool wakiwa uwanja wa nyumbani, wakapata bao la kuongoza kupitia kwa nahodha Steven Gerrard kunako dakika ya 67.

Steven Gerrard celebrates giving his side the lead                  from a free-kick in the 65th minute at Anfield

Wakati timu hiyo ikiamini imefanikiwa kuokota ushindi mwembamba,  Phil Jagielka akaisawazishia Everton katika dakika ya 90.

Everton celebrate the injury time equaliser from                  Phil Jagielka (right) after his stunning half-volley                  clinched a draw in the Merseyside derby

Liverpool: Mignolet, Manquillo, Lovren, Skrtel, Moreno, Gerrard, Henderson, Markovic, Lallana, Sterling, Balotelli

Everton: Howard, Hibbert, Baines, Jagielka, Stones, Barry, McCarthy, Besic, Mirallas, Naismith, Lukaku



Comments