Mshambuliaji wa Chelsea,                Oscar akimnyoshea kidole shabiki mmoja katika dimba la                Stamford Bridge baada ya kufunga goli la kuongoza dhidi ya                Aston Villa
            Oscar aliunasa mpira                unaozubaa mbele ya kipa wa Villa, Brad Guzan na kufunga                goli la kuongoza
            Oscar akipongezwa na                Mbrazil mwenzake Willian (kulia) na Diego Costa (kushoto)                baada ya kutikisa nyavu
            Mshambuliaji wa Hispania,                Costa (katikati) akionesha uwezo wake mbele ya wachezaji                wa Aston Villa, Alan Hutton (kulia) na Philippe Senderos                (kushoto)
            +17
            Mshambuliaji wa Aston                Villa, Gabby Agbonlahor akijaribu kupiga shuti katika                lango la Chelsea
            +17
            Costa akiruka juu na                kumzidi beki wa Villa, Nathan Baker na kuifungia Chelsea                goli la pili
            +17
            Kipa Guzan (kulia)                alijaribu kupangua mpira wa kichwa uliopigwa na Costa,                lakini aliambua manyoya 
            +17
            Costa akishangilia goli                lake
           
Comments
Post a Comment