TAARIFA KWA VYOMBO VYA                HABARI
                MWANASHERIA Sam Mapande, Mjumbe wa            Kamati ya Utendaji ya YANGA –(Utawala Bora) anapenda kutoa            taarifa kupitia vyombo vya habari kwa wana YANGA, ameunda            Kamati ndogo chini ya Kamati ya Utendaji wa YANGA zifuatazo:
                    1) KAMATI                YA MAADILI 
                      Wajumbe:
                      1) Fimbo, Mgongo Prof.                (Advocate)
                      2) Kabudi, Mpalamaganda Prof.              (Advocate) 
                      3) Njaa, Salehe Ramadhani              (Advocate)
                      4) Rashidi, Tausi Abdallah              (Advocate)
                      5) Tenga, Cathbert (Advocate)
                    2) KAMATI                YA NIDHAMU
                      Wajumbe:
                      1) Karua, Tedy 
                      2) Lamlembe, Roger
                      3) Kihanga, Pascal 
                      4) Mahenge, Burton Yesaya
                      5) Mudhihir, Mudhihir (Advocate)
                      3) KAMATI YA SHERIA NA KATIBA 
                      Wajumbe:
                      1) Fimbo, Mgongo Prof.                (Advocate)
                      2) Gikas, Farija (Advocate)
                      3) Kabisa, Jessica (Advocate)
                      4) Kabudi, Mpalamaganda Prof.              (Advocate) 
                      5) Kambamwene, January (Advocate)
                      6) Lupogo, Herman (Advocate)
                      7) Madibi, Richard (Advocate)
                      8) Mahenge, Burton Yesaya
                      9) Mgongolwa, Alex (Advocate)
                      10) Mkucha, Elisha (Advocate)
                      11) Mudhihir, Mudhihir (Advocate)
                      12) Njaa, Salehe Ramadhani              (Advocate)
                      13) Rashidi, Tausi Abdallah              (Advocate)
                      14) Tenga, Cathbert (Advocate)
                      15) Tenga, Ringo Dr. (Advocate)
                      16) Vedasto, Audax (Advocate
                      4) KAMATI                YA UCHAGUZI
                      Wajumbe:
                       1)  Kajole, Mustafa
                       2)  Lundenga, Hashim Ibrahim
                       3)  Makele, Bakili
                       4)  Mlelwa, Daniel 
                        5) Ngongolwa, Alex              (Advocate)
                      Ifahamike kwamba, kutakuwa na nyongeza ya uteuzi                wa Wajumbe wengine wa Kamati za YANGA zilizotajwa hapo                juu.
                      Mwanasheria Sam Mapande,              Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya YANGA – (Utawala Bora)              atakuwa Mwenyekiti wa Kamati zilizotajwa hapo juu.
                      Kamati ya Utendaji ya YANGA,              ina karibisha Wajumbe waliotajwa katika Kamati zilizotajwa              hapo juu kwa dhamira njema kuwa watasaidia kujenga YANGA              bora, na wanaomba ushirikiano kutoka kwa wanaYanga wote ili              Wajumbe walioteuliwa waweze kutenda kazi zao vyema kwa              manufaa ya YANGA.
                      (YANGA                DAIMA MBELE NYUMA MWIKO)
                      (BENO NJOVU)
                      KATIBU MKUU WA YANGA
           
Comments
Post a Comment