SAMUEL ETO'O AJIUNGA NA EVERTON …aanguka mkataba wa miaka miwili


SAMUEL ETO'O AJIUNGA NA EVERTON …aanguka mkataba wa miaka miwili

Pen to paper: Former Chelsea striker Samuel Eto'o                    has signed a two-year deal with Everton

EVERTON imetangaza kumsaji mchezaji huru Samuel Eto'o kwa mkataba wa miaka miwili.

Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 33 aliachwa huru na Chelsea kiangazi hiki na anajiunga na Everton baada ya dili la kwenda Liverpool kishindikana.

Eto'o ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitte: "Ni rasmi sasa mimi ni mchezaji wa Everton …!!! Wacha tuwe tayari kwa changamoto mpya!!!"



Comments