ROJO APATA KIBALI CHA KUFANYA KAZI NCHINI ENGLAND



ROJO APATA KIBALI CHA KUFANYA KAZI NCHINI ENGLAND
Photo: Marcos Rojo amapata kibali cha kufanya kazi              nchini England na ilitegemewa jumamosi hii aanze kuitumikia              United lakini taarifa kutoka UK zinasema kwamba mchezaji              huyo wa kiargentina anaweza bado asipate ruhusa ya kuichezea              klabu mpya kutokana na ugomvi wa kisheria uliopo kati ya              Sporting Lisbon na kampuni ya Doyen Sports iliyokuwa              inamiliki haki zake za usajili kwa asilimia 75. United              imemsajili Rojo kutoka Lisbon kwa ada ya jumla ya £16m              lakini wamelipa £8m kwa sasa na baada watalipa £4m X2.              Premier League hairuhusu suala la 'umiliki wa pande 3'              (Third Part Ownership) - mtindo ambao unaruhusiwa kwenye              nchi kama Ureno alipotoka Rojo. Tatizo la Third Part              Ownership liliwahi kuiletea matatizo West Ham huko nyuma              waliposajili Carlos Tevez na Javier Alejandro Mascherano
Marcos Rojo amapata kibali cha kufanya kazi nchini England na ilitegemewa jumamosi hii aanze kuitumikia United lakini taarifa kutoka UK zinasema kwamba mchezaji huyo wa kiargentina anaweza bado asipate ruhusa ya kuichezea klabu mpya kutokana na ugomvi wa kisheria uliopo kati ya Sporting Lisbon na kampuni ya Doyen Sports iliyokuwa inamiliki haki zake za usajili kwa asilimia 75. 

United imemsajili Rojo kutoka Lisbon kwa ada ya jumla ya £16m lakini wamelipa £8m kwa sasa na baada watalipa £4m X2. Premier League hairuhusu suala la 'umiliki wa pande 3' (Third Part Ownership) - mtindo ambao unaruhusiwa kwenye nchi kama Ureno alipotoka Rojo. Tatizo la Third Part Ownership liliwahi kuiletea matatizo West Ham huko nyuma waliposajili Carlos Tevez na Javier Alejandro Mascherano


Comments