PATA PICHA 23 MSAFIRI DIOUF AKITAMBULISHWA TWANGA PEPETA SAMBABA NA NYIMBO 3 MPYA …ni ndani ya Mango Garden usiku wa kuamkia leo



PATA PICHA 23 MSAFIRI DIOUF AKITAMBULISHWA TWANGA PEPETA SAMBABA NA NYIMBO 3 MPYA …ni ndani ya Mango Garden usiku wa kuamkia leo
PATA PICHA 23 MSAFIRI DIOUF AKITAMBULISHWA TWANGA PEPETA            SAMBABA NA NYIMBO 3 MPYA …ni ndani ya Mango Garden usiku wa            kuamkia leo

BENDI ya African Stars "Twanga Pepeta" imewapagawisha mashabiki waliofurika kwenye ukumbi wa Mango Garden Kinondoni, lililofanyika usiku wa kuamkia leo.

Onyesho hilo lilikuwa ni maalum kwa kumkaribisha nyumbani nyumbani rapa Msafiri Diouf pamoja na nyimbo 3 mpya.

Nyimbo hizo zilizopokewa vizuri ukumbini hapo ni "X-Michepuko" utunzi wake Msafiri Diouf, "Mapenzi yanaumiza" wa Hajj BSS na "Ganda la Muwa" wa Kupaza.

"Pata picha 23 ya onyesho hilo lililohudhuriwa na watu wengi.

Badi Bakule "Mkandarasi" akisababisha

 Dogo Rama (kushoto) na Kalala Jr

 Hajj BSS na Luizer Mbutu jukwaani

 Kalala Jr akipewa mshiko na mashabiki

 Kutoka kushoto ni Kabatano, J Four na Luizer

 Jojo Jumanne kwenye bass na Kaposhoo kwenye tumba

 Kalala Jr akiteta na bosi wake Mamaa Asha Baraka

 Mwandishi Kambi Mbwana wa gazeti la Mtanzania, Said Mdoe na Muddy Muzungu wa Clouds TV

 Kanuti akikung'uta solo gitaa

 James Kibosho kwenye drum

 Rapa mpya  ambaye ana uweo pia wa Frank Kabatao

 Luizer Mbutu akiimba moja ya nyinboo zilizowakuna watu

 Madansa wa kike

 Madansa wa kiume jukwaani

 Namna ukumbi wa Mnago ulivyokuwa unaonekaka

 Fatma Kibororoni akishambulia jukwaa

 Diouf akiekelea kupanda jukwaani

 Hapa tayari Diouf yuko jukwaani

 Kabatano na Diouf

 Sehemu nyingine ya ukumbi ilivyokuwa

 Rama Pentagone akitupia pande katika wimbo Ganda la Muwa

 Mdau mkubwa wa muziki Said Musa akifuatilia kwa makini onyesho la Twanga

 

 

 



Comments