Paka mweusi akiingia uwanjani na kusababisha mchezo kusimama wa muda.
BARCELONA imeanza            vyema La Liga kufuatia ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Elche            Uwanja wa Camp Nou usiku wa kuamkia leo.
        Katika mchezo huo, kiungo wa Barca,            Javier Mascherano, alitolewa nje kwa kadi nyekundu kipindi cha            kwanza, kocha mpya Luis Enrique akiiongoza timu kwa mara ya            kwanza, alionyesha mwanzo mzuri.
        Wafungaji            wa timu ya Barca ni Lionel Messidakika ya 42 na 
64, Munir El Haddadi Mohamdakika ya 46.
        64, Munir El Haddadi Mohamdakika ya 46.
Comments
Post a Comment