Afisa Utamaduni wa                Manispaa ya Iringa, Carlous Mbinda akizungumza kwenye                hafla ya kukabidhi kiti cha kubebea wagonjwa kilichotolewa                na kilichotolewa na Chama cha mchezo wa Pool Mkoa wa                Iringa(IPA) katika hosptali Halimashauri ya Manispaa ya                Iringa ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa mashindano ya mchezo                wa Pool ngazi ya Mkoa yaliyoanza jana mkoani                humoyajulikanayo kama "Safari Lager Pool Competition 2014"                ngazi ya Mkoa. 
                Mganga mfawidhi wa                Hospitali ya Halimashauri ya Wilaya ya Iringa, Mbaraka                Mgangachuma(watatu kushoto) akipokea kiti cha kubebea                wagonjwa kilichotolewa na Chama cha mchezo wa Pool Mkoa wa                Iringa(IPA) katika hosptali hiyo jana wakati wa uzinduzi                wa michezo huo ulioanza jana mjini Iringa ujulikanao kama                "Safari Lager Pool Competition 2014" ngazi ya Mkoa. 
                Mganga mfawidhi wa                Hospyali ya Haliamshauri ya Manispaa ya Iringa Mbaraka                Mgangachuma akipanda mmmoja wa miche iliyofikishwa                hospitalini hapo na wacheza pool wa Mkoa wa Iringa                waliofika kwa lengo la utunzaji mazingira wakati wa siku                ya ufunguzi wa fainali za mashindano ya Safari Pool ngazi                ya mkoa yajukayo kama "Safari Lager Pool Competition 2014"                ngazi ya Mkoa. 
                Afisa Utamaduni wa                Manispaa ya Iringa, Carlous Mbinda akipanda mmmoja wa                miche iliyofikishwa hospitalini hapo na wacheza pool wa                Mkoa wa Iringa waliofika kwa lengo la utunzaji mazingira                wakati wa siku ya ufunguzi wa fainali za mashindano ya                Safari Pool ngazi ya mkoa yajukayo kama "Safari Lager Pool                Competition 2014" ngazi ya Mkoa. 
        



Comments
Post a Comment