Hii ni Taswira ya                  Vijana wa Zanzibar Cosmos wakiwa na Kocha wao mkuu Seif                  Mbuzi kwenye mazoezi ya Jioni katika viwanja vya Mnazi                  mmoja ikiwa ni Jitihada yake Seif Mbuzi Katika kunyanyua                  Kiwango cha Mpira Visiwani Zanzibar
        
Kocha wa timu ya                  Zanzibar Cosmos Seif Mbuzi akiwa na vijana wake katika                  Mazoezi ya kawaida kwenye viwanja vya mpira wa Miguu                  Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar siku ya Jumanne Aug 26,2014. 
        
Kocha wa timu ya                  Zanzibar Cosmos Seif  Mbuzi akiwafundisha na vijana wake                  jinsi ya kufunga magoli ya mbali katika Mazoezi kwenye                  viwanja vya mpira wa Miguu Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar                  siku ya Jumanne Aug 26,2014.
        



Kocha wa timu ya                  Zanzibar Cosmos, Seif Mbuzi akipata picha ya pamoja na                  timu yake mara tu baada ya mazoezi  siku ya Jumanne Aug                  26, 2014 ndani ya wanja wa Malindi uliopo mnazi mmoja                  Zanzibar.(Picha na http://swahilivilla.blogspot.com/)
        













Comments
Post a Comment