
Uhamisho wa pauni milioni 8.5   wa Loic Remy, 27, kutoka QPR kwenda Liverpool umeshindwa   kukamilika.
  Liverpool hawataki kusema   kwanini uhamisho huo umeshindikana, lakini inasemekana huenda mchezaji huyo   ameshindwa kupita vipimo vya afya.
    Liverpool walipanga kumpa jezi namba 7   kama mkataba ungekamilika.
  Remy   sasa huenda akalazimika kurejea   QPR.
Comments
Post a Comment