ROMELU LUKAKU AIPASHIA LIGI KUU NA KLABU YAKE YA ZAMANI YA ANDERLECHT

 
Back home: Romelu Lukaku has decided to train with his former team ahead of the new season
Romelu Lukaku ameamua kufanya mazoezi na timu yake ya zamani kabla ya kuanza msimu mpya.MSHAMBULIAJI wa Chelsea, Romelu Lukaku anajifua na klabu yake ya zamani ya  Anderlecht kwa lengo la kujiweka fiti kabla ya kuanza msimu mpya wa ligi kuu soka nchini England.
Lukaku bado hajaungana na wachezaji wenzake kutokana na likizo aliyoipata baada ya kutoka katika fainali za kombe la dunia na timu yake ya Taifa ya Ubelgiji.
Hoping to impress: Lukaku will be looking to hold down a regular spot in Chelsea's side
Lukaku atazama zaidi kupata namba ya kudumu katika klabu yake ya Chelsea
Hitman: Belgium forward Lukaku was in outstanding form for Everton last season
Mkali wa mabao: Mshambuliaji wa Ubelgiji, Lukaku  alikuwa katika kiwango cha juu na klabu yake ya Everton alipokuwa anacheza kwa mkopo msimu uliopita.

Comments