WAZEE wa Ngwasuma FM Academia usiku wa sherehe za Idd el Fitr (Idd Mosi) waliangusha burudani nzito kwenye ukumbi wao wa nyumbani New Msasani Club.
Wakichangizwa na nyimbo zao za albam mpya ya "Chuki ya Nini", FM Academia wakarindimisha muziki mzito uliokata kiu ya mashabiki wao.
Mwimbaji Dispatch akifanya            kifanya vitu vyake
                    Waimbaji Mule Mule (kushoto) na            Paplo Masai (kulia) walikuwa kivutio kikubwa
                     Tumba na tai shingoni kumbe            vinaendana tu
                    Mstari wa mbele ni waimbaji            Jesus Katumbi, Dispatch, King Blaise, Mule Mule na Pablo Masai
                    Makamuzi            yanaendelea
          





Comments
Post a Comment