Bondia Peter Mbowe akioneshana umwamba wa                kutunishiana misuli na Ibrahimu Tamba baada ya kupima                uzito kwa ajili ya mpambano wao yutakaofanyika katika                ukumbi wa Manyara Park Tandale CCM siku ya Iddi pili 
                Bondia Karim Ramadhani akipima uzito
                Bondia Karim Ramadhani kushoto                akitunishiana misuli na bondia Stevin Kobelo baada ya                kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku                ya iddi pili katika ukumbi wa Manyara Park manzese CCM wa                pili kushoto ni bondia Nassibu Ramadhani na Kocha Jafari                Ndame
                Mjumbe wa kamati ya utendaji wa chama cha                ngumi za kulipwa nchini Ally Bakari ' Champion'                akiwakumbusha mabondia na wasaidizi wao sheria mbalimbali                za mchezo wa ngumi kabla ya mpambano wao
        | Rais wa TPBO                      CHAUREMBO PALASA AKISISITIZA JAMBO. Picha zote na Super D | 
Comments
Post a Comment