ISRAEL NA PALESTINA `BIFU` HADI KWENYE SOKA...WAANDAMANAJI WAVAMIA UWANJA NA KUZIPIGA NGUMI




ISRAEL NA PALESTINA `BIFU` HADI KWENYE SOKA...WAANDAMANAJI WAVAMIA UWANJA NA KUZIPIGA NGUMI
Attack: Protestors storm the pitch and appear to                attack the Maccabi Haifa players

Mashambulizi: Waandamanaji walivamia uwanja na kuanzisha dhoruba ya kuwashambulia wachezaji wa  Maccabi Haifa
Ugly scenes: Protestors                      attack the Maccabi Haifa players forcing the game to                      be called off early

Hatari sana: Waandamanaji waliwavamiwa wachezaji wa Maccabi Haifa na kusababisha mechi kuahirishwa.
Brawl: Protestors and                      Maccabi Haifa players clash after the game is                      stopped

Waandamanaji wakizipiga ngumi na wachezaji wa Maccabi Haifa 
Hitting back: Several                        Maccabi Haifa players were spotted fighting back                        after being attacked

Jamaa akaamua kumrudishia: Wachezaji wengi wa Maccabi Haifa walianza kuzipiga baada ya kuvamiwa
Tension: Pro-Palestinian                      supporters attacked the Maccabi Haifa players

Kula buti kwanza kijana!: Waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina waliwavamiwa wachezaji wa  Maccabi Haifa

MECHI kati ya timu Israeli ya Maccabi dhidi ya Lille ya Ufaransa iliahirishwa baada ya waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina kuvamiwa uwanja.
Waandamanaji hao walioripotiwa kuwa na asili ya Uturuki waliingia katika uwanja wa Austrian ambapo mchezo ulikuwa unaendelea na kuwavamia wachezaji wa Maccabi na kuzua vurugu.
Mmoja wa wachezaji alionekana akizozana na shabiki kabla ya kuanza kurushiana makonde mazito.
Hata hivyo wachezaji wa Maccabi walifanikiwa kutoka uwanjani bila kujeruhiwa.
Tukio hili limekuja wakati huu ambao majeshi ya Israel yamevamia na kufanya uhalifu dhidi ya majeshi ya Hamas huko Gaza.


Comments