DAR Modern Taarab Jumanne usiku katika kuadhimisha sherehe za Idd el Fitr, walifanya onyesho maridadi ndani ya ukumbi wa Travertine Hotel Magomeni.
Katika onyesho hilo, mashabiki wakashuhudia uzinduzi wa albam mpya iliyokwenda kwa jina la "Ubinadamu Kazi"
Zifuatazo ni picha kadhaa za onyesho hilo.
 Baadhi ya mashabiki waliofika            kuishuhudia Dar Modern Taarab
                    Waimbaji wa Dar Modern jukwaani
                     Mpiga kinanda Kamongo akiwa            kwenye ajira yake mpya akitokea Mashauzi Classic
                     Ramadhan Kisolo kwenye gitaa            la solo
                     Mpiga bass Hajji Kijungu
                    Waimbaji Zubeda Mlamali            (kushoto) na Mossi Suleiman
                    Mtangazaji wa East Africa            Radio, Mwanne Othman akiwa ukumbini
                     Madhari ya onyesho la Dar            Modern inavyoonekana kwa nyuma
                     Mmoja wa waimbaji tegemo wa            Dar Modern Sikudhani Ali
                    Mashabiki wakiviacha viti vyao            na kwenda kucheza goma la Dar Modern Taarab
                    MC wa onyesho hilo Hawa Hassan            wa ITV/Capital Radio
                    Baadhi            ya waimbaji wa Dar Modern
                    Hassan Vocha akiimba moja ya            nyimbo mpya za Dar Modern
          













Comments
Post a Comment