Kijana                mdogo mwenye umri wa miaka 17 Zelalem mwenye asili ya                Ethiopia lakini mzaliwa wa Berlin Germany ambako wazazi                wake waliamishia makazi  yao huko, hapa Zelalem akichuana                na Thierry Henry wa New York Red Bulls. Katika mchezo                Arsenal walikubali kipigo cha bao moja bao lilipatika                 katika dk ya 33 na mfungaji alikuwa ni Bradley Wright                Phillips wa Red bulls.
                                           Wilshere Mchezaji wa Arsenal                akijaribu kumzunguka mchezaji wa Red bulls katika mchezo                huo, Arsenal hii ni mara yao ya kwanza kufanya ziara                katika nchi ya Marekani.
                          




Comments
Post a Comment