WATU NA VITUKO VYAO! MWANARIADHA MWENYE MIMBA YA MIEZI SABA ASHIRIKI MBIZO ZA MITA 800



WATU NA VITUKO VYAO! MWANARIADHA MWENYE MIMBA YA MIEZI SABA ASHIRIKI MBIZO ZA MITA 800

Weighed down: Montano waits for her race to start                  on the opening day of the USATF Outdoor Championship

MWANARIADHA wa kike Alysia Montano (mwenye jezi ya pink) ameshiriki mbio za mita 800 huko nchini Marekani huku akiwa na ujauzito wa wiki 34 (zaidi ya miezi saba).

Bingwa huyo wa taifa mara tano, alimaliza mbio hizo za hatua ya kufuzu kwa kutumia dakia 2 na sekunde 32.23, hii ikiwa ni wiki saba tu kabla ya kuelekea kujifungua mtoto wake wa kwanza.

Incredible: Alysia Montano, 34 weeks pregnant,                  competes in the 800m at the US Track and Field                  Championships

 

Licha ya kumaliza wa mwisho, bado nyota huyo wa zamani wa Chuo Kikuu cha California mwenye umri wa miaka 28, alishangiliwa na kupata heshima kubwa mara tu baada ya kumaliza mbio hizo.

Due date: Montano is almost at the end of her her                  third trimester, but is still happy to compete



Comments