WASANII wanaokimbiza Bongo,                    R.O.M.A, Mo Music na Tunda Man jana wameangusha bonge                    la shoo katika fukwe za Coco Beach, jijini Dar.
        Shoo hiyo                    iliandaliwa na Kampuni ya Zantel kwa kushirikiana na                    Redio Times FM ambayo ilikuwa na lengo la kutangaza                    bidhaa za Zantel na kuwaburudisha mashabiki wa                    burudani Bongo.
        SOURCE-GPL
        
Comments
Post a Comment