R.O.M.A, MO MUSIC, TUNDA MAN WAANGUSHA BONGE LA SHOO COCO. TAZAMA PICHA HAPA



R.O.M.A, MO MUSIC, TUNDA MAN WAANGUSHA BONGE LA SHOO COCO. TAZAMA PICHA HAPA
Mo Music akiwa na madensa wake wakianzisha shoo.
Tunda Man akifanya yake jukwaani.

R.O.M.A akikamilisha shoo kwa mzuka wa nguvu.

Tunda Man akiwa amemkaribisha kwa muda mtaalam wa midundo ya mtaani, Msaga Sumu.

Mo Music akionesha utundu wa 'kuvunja' mapigo ya muziki.

Tunda Man na Msaga Sumu wakiamsha morari ya mashabiki.

R.O.M.A akionesha ufundi wa kucheza na maneno mbele ya mashabiki wake.
WASANII wanaokimbiza Bongo, R.O.M.A, Mo Music na Tunda Man jana wameangusha bonge la shoo katika fukwe za Coco Beach, jijini Dar.
Shoo hiyo iliandaliwa na Kampuni ya Zantel kwa kushirikiana na Redio Times FM ambayo ilikuwa na lengo la kutangaza bidhaa za Zantel na kuwaburudisha mashabiki wa burudani Bongo.
SOURCE-GPL


Comments