hawa ndio washindi wa                  redd's miss kanda ya kaskazini kwa mwaka 2014
                 hawa ni wadhimini wa                shindano hilo kutoka minjingu
                Lemutuzz nae alikuwemo ndani ya Redd's miss kanda ya kaskazini bila kumsahau mwenyekiti wa Taswa Juma pinto
 mkuu wa mkoa wa Arusha                  pamoja na mkuu wa mkoa wa Manyara waliuthuria katika                  usiku huo wa kumsaka mrembo wa kanda ya kaskazini ambapo                  katika shindano hilo warembo wanne wamwanzo watakingia                  katika kambi ya Redd's miss Tanzania
                 mh hashimu Lundenga akiwa                  anatangaza washindi wa tatu bora
                 watembo wakiwa wameingia ukumbini wakicheza                  wimbo wa ufunguzi 
                 papa mwandago akimwaga maneno                  akiwa kama muandaaji mkuu wa shindano hili
         hawa ndio warembo                walioingia tano bora
         waandaji wa shindano hilo wakiwa wamekaa kwa                  mapozi wakifuatilia shindano. PICHA zote na libeneke la kaskazini blog
        












Comments
Post a Comment