HISTORIA YA DIRK KUYT KWENYE MICHUANO YA LIGI KUU
1998-2003: Utrecht (alicheza                    mechi 160 , alifunga magoli 51)
2003-2006: Feyenoord (alicheza mechi 101, alifunga magoli 71)
2006-2012: Liverpool (alicheza mechi 208 , alifunga 51)
2012-NOW: Fenerbahce (amecheza mechi 63, amefunga magoli 18)
2004-NOW: Holland (amecheza mechi 99, amefunga magoli 24)
            2003-2006: Feyenoord (alicheza mechi 101, alifunga magoli 71)
2006-2012: Liverpool (alicheza mechi 208 , alifunga 51)
2012-NOW: Fenerbahce (amecheza mechi 63, amefunga magoli 18)
2004-NOW: Holland (amecheza mechi 99, amefunga magoli 24)
Kikosi cha Van Gaal                kinashuka dimbani leo jumapili dhidi ya Mexico na Kuyt                ameonya kuwa hakutakuwa na mabadiliko katika mfumo wao wa                ushambuliaji uliowapatia mabao 10 mpaka sasa.
          Alisema: "Tuna Robin van                Persie na Wesley Sneijder ambao ni wachezaji bora zaidi                duniani, kwa maoni yangu. Tunajua ubora wetu na tunataka                kuutumia".
        
Comments
Post a Comment