- Get link
- X
- Other Apps
Wachezaji wa Brazil wakishangilia baada                        ya kushinda kwa penalti 3-2 dhidi ya Chile.
              WENYEJI Brazil wameitoa Chile                kwa penalti 3-2 katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la                Dunia mjini Uwanja wa Belo Horizonte, kufuatia sare ya 1-1                ndani ya dakika 120.
Shujaa wa Brazil alikuwa ni kipa Julio Cesar aliyeokoa penalti mbili za Alexis Sanchez na Mauricio Pinilla wakati Gonzalo Jara aligongesha mwamba, huku Marcelo Diaz na Charles Aranguiz wakifunga.
              Shujaa wa Brazil alikuwa ni kipa Julio Cesar aliyeokoa penalti mbili za Alexis Sanchez na Mauricio Pinilla wakati Gonzalo Jara aligongesha mwamba, huku Marcelo Diaz na Charles Aranguiz wakifunga.
Penalti za Brazil zilifungwa na                David Luiz, Marcelo na Neymar, wakati Hulk  na Willian                misses walikosa.
              Brazil: Julio                  Cesar, Dani Alves, Thiago Silva, Luiz, Marcelo,                  Fernandinho, Gustavo, Hulk, Oscar, Neymar, Fred.
                Subs: Jefferson,                  Paulinho, Dante, Maxwell, Henrique, Ramires, Hernanes,                  Willian, Bernard, Jo, Maicon, Victor.
                Chile: Bravo,                  Mena, Isla, Silva, Alexis, Vidal, Vargas, Medel, Jara,                  Aranguiz, Diaz.
                Subs: Toselli,                  Albornoz, Carmona, Pinilla, Valdivia, Rojas, Orellana,                  Beausejour, Gutierrez, Fuenzalida,
Paredes, Herrera.
                Paredes, Herrera.
Referee: Howard                  Webb (England)
              - Get link
- X
- Other Apps
Comments
Post a Comment