SUAREZ AWAPIGA `CHANGA LA MACHO` REAL MADRID, BARCELONA, ASEMA YEYE `GADO KWA GADO` NA LIVERPOOL YAKE


SUAREZ AWAPIGA `CHANGA LA MACHO` REAL MADRID, BARCELONA, ASEMA YEYE `NGADO KWA NGADO` NA LIVERPOOL YAKE

Happy: Luis Suarez wants to stay              at Liverpool after scoring 31 goals in 33 Premier League              games last season

Stricken: Suarez is                    fighting a battle against time to make the World Cup                    after knee surgery on Thursday
Balaa!: Suarez anapigana vilivyo na majeruhi ya goti lake ili acheze kombe la dunia baada ya kufanyiwa upasuaji jumanne ya wiki iliyopita.
National concern: A crowd                    gathers around Suarez as he leaves hospital in                    Montevideo
Golden boy: Suarez with                      his two children and his golden boot award after                      their May 11 match at Anfield
 
Imechapishwa Mei 27, 2014, saa 9:34 asubuhi

LUIS  Suarez amemwambia mchezaji mwenzake wa Liverpool kuwa ana mpango wa kubakia klabuni hapo msimu ujao ili kuisaidia timu hiyo kutwaa ubingwa wa ligi kuu soka nchini England.
Jana jumatatu, Liverpool walisema kuwa kocha mkuu Brendan Rodgers amesaini mkataba mpya utakaomuweka Anfield mpaka mwaka 2018 na atapata nguvu zaidi kwa uwepo wa Suarez.
Ripoti zinasema Real Madrid wameweka dau la paundi milioni 100 kwa ajili ya kuinasa saini ya Suarez ambaye alisaini mkataba mrefu na Liverpool mwezi desemba mwaka jana na aliahidi kukaa muda mrefu klabuni hapo.
Lakini vyanzo vya habari Bernabeu vinaeleza kuwa hakutakuwa na haja ya kumsajili Suarez kama Karim Benzema atakubali kusaini mkataba mpya.
Mfaransa huyo ambaye yuko kwenye rada za Arsenal anahitaji kuongezewa dau na Real Madrid, lakini klabu hiyo inaamini watafikia makubaliano na nyota huyo mwenye miaka 26 kabla ya kombe la dunia.


Comments