DALILI YA MVUA NI MAWINGU`, FERNANDO TORRES AANZA KUUNGURUMA HISPANIA, APIGA MOJA KATIKA USHINDI WA 2-0




DALILI YA MVUA NI MAWINGU`, FERNANDO TORRES AANZA KUUNGURUMA HISPANIA, APIGA MOJA KATIKA USHINDI WA 2-0
All smiles:                  Torres is congratulated by Chelsea team-mate Cesar                  Azpilicueta (centre) and defender Raul Albiol
Tabasamu: Torresakipongezwa na mchezaji mwenzake wa Chelsea Cesar Azpilicueta (katikati na beki Raul Albio.
 
NYOTA wa Chelsea, Fernando Torres aliifungia Hispania bao muhimu katika ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Bolivia.
Mechi hiyo ya kirafiki kwa ajili ya maandalizi ya kombe la dunia ilipigwa jana usiku na Torres angefunga zaidi ya bao moja, lakini kukosa umakini kulimgharimu.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com


Comments