Atletico Madrid imeanzisha mazungumzo ya kumrejesha mashambuliaji wake za zamani Diego Costa kutoka Chelsea.
Washindi hao wa pili wa Champions League wana jeuri ya pesa ya kumsajili mshambuliaji huyo baada ya kumpiga bei Jackson Martinez kwa klabu ya Guangzhou Evergrande Taobao ya china.
Lakini kikosi hicho cha Diego Simeone pia kimejiongezea kipato baada ya kuboreshewa mapato yake ya haki za matangazo ya televisheni.
Diego Costa akishangilia moja ya magoli yake kwa Chelsea
Costa akifunga kwa penalti enzi hizo akiwa na Atletico Madrid dhidi ya Chelsea
Comments
Post a Comment