RAMOS AENDELEA KUNUKIA MANCHESTER UNITED


RAMOS AENDELEA KUNUKIA MANCHESTER UNITED
 United's opening            offer of £28.3million for the 29-year-old was firmly rejected            by Madrid
MANCHESTER UNITED inaonekana kukaribia kumnasa Sergio Ramos baada ya klabu yake ya Real Madrid kutupa ndoano kwa Leonardo Bonucci wa Juventus, anayetajwa kuwa mbadala sahihi wa sentahafu huyo.

Ramos mwenye umri wa miaka 29, anaonekana kuwa njiani kuondoka Madrid kiangazi hiki, huku Louis van Gaal akipambana kwa nguvu zote kupata saini yake, na tayari ameweka mezani ofa ya pauni milioni 49.6.

Kwa mujibu wa mtandao wa Tuttomercatoweb, Real Madrid imeridhia kumwachi Ramos aondoke wakati ikielekeza macho yake kwa Bonucci.



Comments